30/10/2025
πππππ ππππ πππ πππππππ πππππππ πππππππ
weka LIKE ukiendelea kusoma usisahau k**a jana ππ
ππππ π USHAWAI ACHWA NA BIBI YAKO NA DEM YAKO ONCE...
Tyran alikuja kumuita Asha akamwambia mamaa,kaa chini tuongee kiasi. Asha akashindwa kuna nini,ama washajua amekunywa fombeππbut Tyran alimwambia usitense,we good na ningependa kukushukuru sana kunitafuta na wakati mamako kesho anaenda, nataka umuhakikishie chenye anaexpect from you while she will be away.
Asha akamwambia kwanza namshukuru mamangu kwa kunikubali nikutafute na tena nakushukuru sana kwa wewe kunikubali k**a mtoto wako and for mum,I promise and I swear I will not bring her down.
It was both happy and emotional Asha akujua kesho mamake anaondoka. Hadi kanatamani kulia.
Selina na yeye amejaribu sana kumcall Chris but simu hazishikwi,lakini punde si punde, this time round, wakati alicall,mkewe Chris akashindwa huyu ni nani anasumbua sumbua kwa simu ya mumewe,akashika! kushika akasikia aje "Hello babe,baaaabe" Jemimah akashindwa,nani huyu anacall bwanangu babe,akajua mara moja,anagongewa..mako! Makosa.
Jemimah hata hakungoja explanation,aliondika akaanza kupack vitu zale na kuenda, Chris akakuja akamuuliza,shida ni nini hunnie unaenda out ama? Jemimah akamwambia sikiza, nakupea time ukae na huyo Cele Mtumba wako. Chris akamwambia aah,unasema huyo dem huwa anatuuzia mitumba kwa ofisi? Jemimah akamwambia usinibebe wana,she called,nikashika akakuita babe π₯Ήπ₯Ήπ₯ΉChris akajua kimenuka. Alafu ni fala,ati sasa anajam,anaambia Jemima hakuna penye unaenda wewe,he even started being brutal kwa mkewe na imagine mtoto wao ako tu hapo,anajionea kila kitu.
Chris aliambia Jemimah k**a ni kuenda unaenda,then huendi na mtoto wangu. Chris alikatalia mtoto π₯²π₯²mtoto analia anataka mamake but Chris alikataa,Jemimah woiye,utaenda bila mtoto?
On other side, kabla Saida hajaondoka kuenda Mombasa,,something changed. Sabina na venye alikua anataka sana Saida aende,amini msiamini,she changed her mind akaambia Tyran, haina haja Saida aende,acha tu abaki hapa akae na sisi πππSaida akashindwa what changed again...lakini niwaambia ukweli wa mambo,Sabina ni mjanja,she knows the law of keeping your enemy closer ju anajua Saida ashajua kuna kitu kati yao na Rober πππ
Chris alikuja akatafuta Selina,akamuuliza wewe,mara ngapi nakuambia usiwai nipigie simu usiku? Selina akamwambia yoh! Watch your tone kababaa, kuna shida? Chris alimwambia my wife ashajua kila kitu kutuhusu na sasa ushaharibi maneno. Selina akamwambia thats your problem them,sort it out and make sure unadelete my number na usiwai nitafuta,fix your marriage na usiwai nitafuta. Wueh! Chris,akaachwa na bibi na tena akaachwa na dem yake π₯²π₯²π₯²π₯²
ππππ π
Asha aliita Sabina ati "mum Sabina" mamake akamwambia wee,mimi ndio mamako huyo ni mamake Selina πππSaida anaambia Asha,mbona siamini huyu mwanamke,mara hanitaki tena mara anataka nikae huku..Asha akamwambia we mama na weee,umezoea shida hadi unashuku kila kitu πππ
Jemimah! Amekuja kwa beshte yake.Mitchelle, mwenye alimwambia kuhusu Chris akilia tu,akamwambia nishajua ukweli wa mambo,na hata Chris simtakio kabisa acha akae na huyo Celestine wake...beshte akamwambia yoh, mbona utoke kwako..umesahau wee ndio umesaidia Chris kufika penye ako? Jemimah akamuuliza sasa nifanye nini? Beshte yake akamwambia sikiza, boma ni yako,huwezi achia msichana mwingine,baki kwako for Ivy your kid.
Ivy mwenyewe amejam sana,hana furaha. Babake alikuja na gifts akamuuliza, niko na zawadi mbili unataka gani princess? Katoto kakamwambia nataka mamangu πππ
Kumbe Jemimah hata wanajuana na Robert..alikuja akamshtaki Chris kwa Robert na hata akamuonyesha zile chats. Robrrt akashtuka akamuuliza sasa nitafanya nini? Jemimah akamwambia sikiza ambia Tyran akataze mtoto wake kwa ndoa yangu. Robert akashtuka akamuuliza unamaanisha? Jemimah akamwambia yeah, akataze Celestine before I do ju nikifanya,kuna mtu ataenda mortury. Sikiza, Jemimah,Robert,Tyran wanajuana vizuri sana.
Robert alimcall Sabina akamwambia we need to meet now now,its about Celestine. Wueh! Kumeanza kuchemka. Wait yani bado haujanifollow, usiende bila kunifollow