FULL BAGS Supply Tz

FULL BAGS Supply Tz Full bags Supply Tz- Sisi ni wasambazaji wa vyakula mbali mbali (dry foods and vegetables). Imeanzishwa tarehe 17/05 /2026.

Lengo ni kuwawesha watu kupata huduma ya delivery kwa haraka, kwa watu wa ofisini,hoteli, migahawa na kampuni.

25/05/2026

Tunafanya 🚚 Delivery, na kuhakikisha mzigo wako unakufikia salama,

Delivery zetu ni ndani ya jiji la Arusha, mikoa ya jirani na nje ya nchi.

Tuna pokea oda za campsite, lodges, hotels,migahawa, pamoja na mahiataji ya mtu binafsi.

Wasiliana nasi kupitia namba zetu hapa chini. πŸ‘‡
WhatsApp +255666758460
πŸ“ž+255746438460

25/05/2026
22/05/2026

Video yetu, inaeleza zaidi sisi ni akina nani na tunafanya nini! Sikiliza kwa makini, na utuambie nini zaidi ungetamani kusikia kutoka kwetu.! Na kupata taarifa zaidi kuhusu Full bags Supply Tz. Wasiliana nasi kupitia
WhatsApp number +255746438460
+255666758460
Email : [email protected] Natural et Mom

With Natural et Mom – I just got recognized as one of their top fans! πŸŽ‰
21/05/2026

With Natural et Mom – I just got recognized as one of their top fans! πŸŽ‰

With Marjorie et Filbert - Safaris en Tanzanie - Zanzibar / Kilimandjaro – I just got recognized as one of their top fan...
21/05/2026

With Marjorie et Filbert - Safaris en Tanzanie - Zanzibar / Kilimandjaro – I just got recognized as one of their top fans! πŸŽ‰

With AnnieRuth Foundation – I just got recognized as one of their top fans! πŸŽ‰
21/05/2026

With AnnieRuth Foundation – I just got recognized as one of their top fans! πŸŽ‰

TUNA JARIBU KITU LEO πŸ˜‚πŸ…Kreti la nyanya kabisa hili, ukiliuza reja reja unapata faida shilingi ngapi?A) chini ya 10,000B)...
19/05/2026

TUNA JARIBU KITU LEO πŸ˜‚πŸ…

Kreti la nyanya kabisa hili, ukiliuza reja reja unapata faida shilingi ngapi?

A) chini ya 10,000
B) 10,000 - 20,000
C) Zaidi ya elfu 20,000

Tuambie jibu lako kwenye commentπŸ‘‡
Wenye majibu sahihi 5 wa kwanza wanapta FREE DELIVERY Leo!

Stock ipo! Oda Leo:+255666758460

Leo tumeanza rasmi πŸ™Œβš οΈ Ndugu wateja wetu, tunapenda kuwajulisha kuwa Leo ndio tunaanza rasmi biashara yetu ya kusambaza ...
19/05/2026

Leo tumeanza rasmi πŸ™Œ

⚠️ Ndugu wateja wetu, tunapenda kuwajulisha kuwa Leo ndio tunaanza rasmi biashara yetu ya kusambaza mahiataji ya vyakula mbali yaanii dry (foods and vegetables).

Hivyo tunapenda kuwakaribisha wote kwenye ukurasa wetu wa ili uweze kuwa karibu na sisi kwa ajili ya kutufuatilia na kujua zaidi ni nini tunauza, na kupata bei za bidhaa zetu!

‼️ KWA NINI KUTUCHAGUA SISI?

Lengo ni rahisi!
βœ…Bei nafuu Jumla na reja reja
βœ… Delivery inafanyika kila siku Arusha na mikoani
βœ…Bidhaa Safi zinatoka shambani kila siku
βœ… Tunafanya Delivery 🚚 kila siku ndani ya mji wa Arusha.

⚠️ Tupo Arusha mjini, soko kuu.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia!
What'saap :+255666758460
Instagram :
Facebook :FULL BAGS Supply Tz.

Address

Arusha, Soko Kuu
Arusha

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FULL BAGS Supply Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share