25/12/2021
Ndungu wapendwa nawatakia Noel njema leo nl siku ya kukumbuka kuzaliwa kwa mwokozi wetu.Kwa wale wanaokubali kuwa Yesu ni Bwana naomba tujifunze maneno yaliosemwa na nabii Isaya 9:6_9 tunakumbushwa kuwa tumepewa mtoto mwanaume na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake ataitwa mshauri wa ajabu Mungu mwenye nguvu.Naomba kwa wewe unayesoma ujumbe huu ukumbuke kuwa ni siku ya kukumbuka ujio wa Mungu kwetu .Mungu abariki yoyote atakayesoma maneno haya na kuyajulisha wengene kwa kurusha kwa ndugu zake Amin