30/01/2026
π‘ NYUMBA INAUZWA β BAGAMOYO (KITOPENI) π‘
Unatafuta nyumba bora kwa makazi au uwekezaji?
Hii ndiyo fursa sahihi kwako!
π Location: Kitopeni β Bagamoyo
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 800
β
Kiwanja kimepimwa rasmi
π Sifa za Nyumba:
βοΈ Vyumba 3 vya kulala
βοΈ Chumba 1 Master
βοΈ Sebule kubwa na ya kisasa
βοΈ Jiko
βοΈ Choo cha public
βοΈ Umeme upo
βοΈ Maji ya kisima
βοΈ Mabanda ya kuku (kwa ufugaji au biashara)
π Nyaraka:
βοΈ Hati miliki halali ya Wizara ya Ardhi
π° Bei: Milioni 50 (maongezi yapo)
π§Ύ Service charge: Tsh 30,000 tu
π Site visit:
Ni kila siku β piga simu unapopata muda, utapelekwa site moja kwa moja.
π Mawasiliano:
π± 0687627903 WhatsApp
π Nyumba ipo eneo zuri, tulivu na lenye maendeleo makubwa β
ni bora kwa kuishi au kuwekeza kwa faida ya muda mrefu.
Usikose hii fursa adimu πβ¨