04/06/2026
Masikio kupiga kelele kitaalamu hujulikana k**a Tinnitus.
Ni tatizo la kiafya linalomfanya mtu asikie sauti au milio ambayo kihalisia haipo. Sauti hizi zinaweza kuwa k**a miluzi, kengele, upepo, filimbi, au mlio wa mashine. Hizi ni dalili zinazoashiria kuwa kuna tatizo fulani kwenye sikio, mishipa ya fahamu ya kusikia, au mfumo wa masikio kwa ndani.
SABABU / CHANZO;
- Misuli kukaza
- Maambukizi au majeraha kwenye sikio
- Kuziba kwa nta au mfereji wa sikio
- Mabadiliko ya presha ndani ya sikio
- Upungufu wa damu mwilini
- Msongo wa mawazo ( Stress)
- Kukaa kwenye sehemu yenye kelele kubwa muda mrefu na mara kwa mara
- Mafua ya muda mrefu au mzio
- Mtirirolo hafifu wa damu
- Matumizi ya muda mrefu au ya mara kwa mara ya baadhi ya dawa za hospitalini.
MADHARA;
Usipotibu changamoto hii mapema itapelekea;
- Usikivu hafifu
- Kupoteza kabisa usikivu
- Kupata changamoto ya afya ya akili
- Kutotibika tena kwa dawa bali hadi kutumia kifaa maalumu cha kusaidia kusikia vizuri.
🔥 Wasiliana nasi tukupe dawa ya kuondoa changamoto hii
Bei ni 25,000
0713184830
Tupo Dar, Mawasiliano.