31/05/2026
βZaburi 30:5
Huenda kilio huja kukaa usiku,
Lakini asubuhi huwa furaha.
Maisha ya watu wengi huwa yanaanzia kwenye machozi na kilio lakini asubuhi yao huwa ni furaha.
Maisha huanzia kwenye jioni yenye aibu kwenda kwenye asubuhi yenye furaha.Usiogope Inawezekana leo uko kwenye jioni yako ya aibu, asubuhi yenye uchungu nimetumwa kukwambia asubuhi yako imekaribia katika jina la Yesu
Mtu wa Mungu sisi wengine maisha yetu yameanzia kwenye uzee kuja kwenye ujana
K**a Bwana amekutoa uzeeni kuja kwenye ujana embu tumia siku ya leo kumwambia Mungu asante kwa Upendo wako.
Ukiweza tuandikie pia kwa ufupi Mungu alikokutoa inawezekana ushuhuda wako ukamtia moyo mtu mmoja siku ya leoβ