KibubuApp - B2C Marketplace

KibubuApp - B2C Marketplace Karibu uweze kununua bidhaa mbalimbali kwa pesa taslimu au kwa malipo ya kidogo kidogo (installment) kwa hadi miezi 3.

Unafanya biashara?Soko lako la kukutana na wateja wako ni ndani ya soko la mtandaoni la app ya  . Fanya biashara hata wa...
10/05/2026

Unafanya biashara?
Soko lako la kukutana na wateja wako ni ndani ya soko la mtandaoni la app ya .

Fanya biashara hata wakati unapokuwa umelala.
Fanya biashara hata ukiwa vacation
Fanya biashara hata ukiw safari
Fanya biashara ukiwa popote.

Hakuna gharama yoyote

Tupo pamoja nawe hadi upate upendacho kwa bei nafuu na mfumo rahisi wa kulipia.Chagua bidhaa kisha lipia kidogo kidogo u...
06/05/2026

Tupo pamoja nawe hadi upate upendacho kwa bei nafuu na mfumo rahisi wa kulipia.
Chagua bidhaa kisha lipia kidogo kidogo ukiwa na app ya

Happy International Worker's Day.  tunathamini mchango wenu.
01/05/2026

Happy International Worker's Day.
tunathamini mchango wenu.

17/04/2026

Sehemu pekee ya kupendeza lwa gharama nafuu kabisa na kwa uaminifu mkubwa ni ndani ya app ya

17/04/2026

Hivi unajua kuna pesa inapita mikononi mwako halafu unaichukulia poa kwa kuona kwamba ni kidogo.
Lakini nikwambie kwamba kuna watu wengi wanakamilisha ndogo zao za kununua bidhaa kwa kulipia kidogo kidogo wakiwa na app ya .

Hiyo buku au buku 2 sio ndogo ni kwa sababu tu hauna mipango.
Hiyo pesa inaweza kununua bidhaa kidogo kidogo ndani ya app ya .
Unaweza kuchagua bidhaa na kulipia kidogo kidogo au ukaamua kuweka ndani ya wallet(Kibubu) ndani ya akaunti na kisha ukaitumia kulipia bidhaa ndani ya app ya .

Ili kulipia kutumia wallet(kibubu) k**a kuna salio utachagua kulipia kutumia WALLET wakati wa kufanya malipo ya bidhaa.

Pakua app ili uone hizi features na uzizoee kwenye matumizi .

Namna ya Kununua Bidhaa na kufanya malipo Ndani ya KibubuApp1. Kuchagua BidhaaUkishafungua KibubuApp na kuchagua bidhaa ...
17/04/2026

Namna ya Kununua Bidhaa na kufanya malipo Ndani ya KibubuApp

1. Kuchagua Bidhaa
Ukishafungua KibubuApp na kuchagua bidhaa unayotaka, chini ya maelezo ya bidhaa utaona chaguzi mbili:

• LIPA SASA
• LIPA KIDOGO KIDOGO

2. LIPA SASA
Ukichagua LIPA SASA, mfumo utakuelekeza kwenye hatua ya kujaza taarifa za anuani (address details) ili bidhaa iweze kuletwa mahali sahihi.
Baada ya kujaza anuani zako, utaelekezwa kwenye ukurasa wa malipo ambapo unaweza kuchagua njia ifuatayo:

• Wallet (Kibubu Wallet)
• Selcom
• AzamPay

Baada ya kuchagua njia ya malipo, utachagua tena kati ya:
• Card (Visa, Mastercard, n.k.)
• Mobile Wallet (mitandao ya simu)

Iwapo utachagua kulipa kupitia Kibubu Wallet, na k**a wallet ina salio la kutosha kulingana na bei ya bidhaa unayolipia, kiasi husika kitakatwa moja kwa moja na malipo yatakamilika.

3. LIPA KIDOGO KIDOGO
Iwapo utachagua LIPA KIDOGO KIDOGO, utaanza kwa kujaza taarifa zako za anuani kisha utaelekezwa kwenye malipo.
Kwenye hatua ya malipo, unatakiwa kuweka kiasi kisichopungua TZS 2,000 k**a malipo ya kwanza.
Mnunuzi anapewa muda wa hadi siku 90 kukamilisha malipo ya bidhaa anayolipia kidogo kidogo.

4. Jinsi ya Kuendelea Kulipia Bidhaa (Installments)
Ili kuendelea kulipia bidhaa uliyolipa kidogo kidogo, ingia kwenye akaunti yako na chagua:

• My Orders
Kwenye My Orders utaona orodha ya orders zako zote. Chagua order unayotaka kuendelea kulipia.
Utakapofungua order husika, utaona kitufe cha ‘LIPA KIDOGO KIDOGO’. Ukibofya hapo, utapelekwa moja kwa moja kwenye ukurasa wa malipo ili kuendelea kulipa.
Kila unapofanya malipo, kiasi ulicholipia tayari kitaoneshwa kwenye My Orders pamoja na muda uliosalia kukamilisha malipo ndani ya siku 90.

Karibu sana uendelee kupata huduma bora na yenye usalama 💯ukiwa na app ya

Eid Mubarak Familia ya  . Ikawe heri tunaposherehekea sikukuu hii.Tuendelee kupata huduma za bidhaa mbalimbali ukiwa na ...
20/03/2026

Eid Mubarak Familia ya .
Ikawe heri tunaposherehekea sikukuu hii.

Tuendelee kupata huduma za bidhaa mbalimbali ukiwa na app ya

  imeweka mfumo ambapo mnunuzi hawasiliani moja kwa moja na muuzaji.Hii inalenga kupunguza udanganyifu na kufanya biasha...
15/03/2026

imeweka mfumo ambapo mnunuzi hawasiliani moja kwa moja na muuzaji.

Hii inalenga kupunguza udanganyifu na kufanya biashara iwe na utaratibu.

Sababu kubwa kwanini ni salama kufanya manunuzi na kuuza ndani ya app ya   👇👇Ili kulinda wateja na wafanyabiashara wote,...
14/03/2026

Sababu kubwa kwanini ni salama kufanya manunuzi na kuuza ndani ya app ya 👇👇

Ili kulinda wateja na wafanyabiashara wote,
KibubuApp inaruhusu tu wauzaji waliothibitishwa kufanya biashara ndani ya app.

Kabla ya kuanza kuuza, timu ya KibubuApp hufanya uhakiki wa:

✔ Nyaraka za biashara
✔ Eneo la biashara
✔ Ubora wa bidhaa

Hii inasaidia kuhakikisha biashara ndani ya inafanyika kwa uaminifu.

Kupitia  , malipo na mchakato wa ununuzi unapitia mfumo wa app.Hii inasaidia kufanya biashara iwe salama zaidi kwa mnunu...
14/03/2026

Kupitia , malipo na mchakato wa ununuzi unapitia mfumo wa app.

Hii inasaidia kufanya biashara iwe salama zaidi kwa mnunuzi na muuzaji.

Address

Golden Jubilee Towers 12 Floor
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when KibubuApp - B2C Marketplace posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share