mbao_kutoka_mafinga_buguruni

mbao_kutoka_mafinga_buguruni πŸ—οΈ Duka la Vifaa vya Ujenzi – Buguruni
🌲 Mbao zenye dawa (Treated Timber)
Mabati β€’ Mirunda β€’ Mbao aina zote
πŸ’° Bei nafuu kwa jumla & rejareja.

12/08/2026

Sasa nikipanda basi la njombe Express litanifkisha adi inapo patikana bangi ya njombe ??

12/08/2026

Upo Dar, Mbeya, Dodoma ama Mwanza? Hakuna tatizo!”

Ujumbe:

β€œTunatuma mbao popote Tanzania.
Tunapakia kwa uangalifu, tunakupatia risiti, na usafirishaji salama hadi mlangoni.
Hakuna kuchakachua, hakuna kupoteza hela.”

Mwisho:

β€œTuambie uko wapi – tukusambazie mbao zako kwa haraka na salama!”TARGET)










12/08/2026

Kwanini uchague mbao kutoka kwetu Mafinga?
1. Ubora Uliothibitishwa – Mbao zetu zimepitia ukaguzi wa kitaalamu na zimeidhinishwa na serikali.
2. Bei Nafuu – Tunauza kwa bei ya ushindani bila kuathiri ubora.
3. Huduma Bora – Tunatoa ushauri na msaada hadi mbao zikufikie salama.

Huna sababu ya kununua mbao zisizojulikana. Njoo kwetu Mafinga upate bora zaidi.”BiasharaTZ








12/08/2026

TUPIGIE Namba ya shamba*0719 864 986* kwa majitaji ya mbao na bei za Dar es saalam piga simu kwa meneja Mwinyi Buguruni
0714 636076

⚠️MBAO FUTI 12 ZISIZO NA DAWA
2X2 bei *1,200*
2X4 bei *3,700*
2X3 bei *2,900*
2X6 bei *4,500*

⚠️MBAO TREATED FUTI 18 TREATED
2X4 bei *8,500*
2x6 bei *1,2500*

⚠️MBAO NCH MOJA FUTI 12
1X8 bei *4,500*
1X10 bei *10,000*
1X6 bei *2,700*

⚠️MBAO NCH MOJA FUTI 18
1x8 bei *14,000*
1x10 bei *2,5000*

⚠️WASILIANA NASI LEO
salaam. #

12/08/2026

Wewe unaonaje hatua hii ya TRA? πŸ‘‡πŸ½ Maana kuna watu wengine, bila kazi ya kushughulika na risiti za kodi, hawawezi kufanya kazi nyingine kabisa. πŸ˜‚πŸ˜‚

Vijana tufanye kazi halali, tujiajiri, tujenge biashara na tutafute kipato kwa njia sahihi. Risiti ni sehemu ya biashara, siyo kazi yenyewe! πŸ’ͺ🏽πŸ”₯

12/08/2026

πŸ”₯ MBAO ZA UBORA WA JUU – TUNAPATIKANA BUGURUNI, DAR ES SALAAM 🌲

βœ… Nunua kwa wanaojua mbao tangu zikiwa gogo, si kwa wanaoziona zikiwa tayari zimechanwa.

βœ… Usafiri BURE ndani ya Dar es Salaam
πŸ“ Buguruni, karibu na Daraja Jipya la Treni
🏒 KALEMBO TRADERS

🌲 MBAO TREATED

Futi 12
β€’ 2Γ—2 β€” Tsh 3,000
β€’ 2Γ—3 β€” Tsh 5,000
β€’ 2Γ—4 β€” Tsh 6,000
β€’ 2Γ—6 β€” Tsh 12,000

Futi 20
β€’ 2Γ—2 β€” Tsh 6,500
β€’ 2Γ—4 β€” Tsh 13,000
β€’ 2Γ—6 β€” Tsh 23,000

🌲 FISHA BOARD

β€’ 1Γ—6 β€” Tsh 9,000
β€’ 1Γ—8 β€” Tsh 12,000
β€’ 1Γ—10 β€” Tsh 17,000

🌲 MBAO NYEUPE (BILA DAWA)

β€’ 2Γ—2 kuanzia Tsh 3,000
β€’ 2Γ—4 kuanzia Tsh 6,000
β€’ 1Γ—10 β€” Tsh 15,000

πŸš› Tunafikisha mzigo hadi kwenye site yako.

🎁 Tuma oda yako leo upate punguzo la 5% na tukupigie hesabu BURE.

πŸ“² Piga simu au WhatsApp sasa:
πŸ“ž +255 719 864 986
πŸ“ž +255 789 737 526

KALEMBO TRADERS – Mbao bora, bei nzuri, huduma ya kuaminika. πŸŒ²πŸš›

12/08/2026

Bil. 7 kwa ? πŸ˜… Hapana bana! Bora tukanunue wachezaji wote wa ile timu iliyocheza na , tuwafanye kuwa kikosi cha pili cha Simba πŸ˜‚β€οΈπŸ”΄πŸ”₯

12/08/2026

πŸ“ DAR ES SALAAM TUNAWAFIKIA WOTE!

πŸ“Œ Upo wapi?
🏘️ Goba
🏑 Madale
🌳 Bunju
πŸ–οΈ Kunduchi
🌊 Mbweni
πŸ™οΈ Tegeta
πŸ›£οΈ Salasala
🏠 Boko
🌾 Magwepande
πŸŒ… Kerege
πŸ—οΈ Mbezi
🏒 Kawe
πŸͺ Mwenge
🚦 Sinza
🏬 Kinondoni
πŸ™οΈ Ilala
🏭 Buguruni
🏒 Kariakoo
🏠 Tabata
πŸ—οΈ Ubungo
✈️ Ukonga
🏘️ Gongo la Mboto
πŸ–οΈ Kigamboni
πŸŒ‰ Kurasini
βš“ Chang’ombe
🏘️ Temeke
🏑 Mbagala
🌊 Kunduchi Beach Area

🚚 Tunatuma mbao popote Tanzania nzima
πŸ“¦ Tunapakia kwa uangalifu
🧾 Unapata risiti halali
πŸš› Usafiri salama hadi mlangoni

❌ Hakuna kuchakachua
❌ Hakuna kupoteza hela

πŸ“ž Tuambie uko wapi β€” tukusambazie mbao zako haraka na salama!
πŸͺ΅ Mbao halisi kutoka Mafinga – Buguruni

Address

BUGURUNI MALAPA ILALA
Dar Es Salaam
11101

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mbao_kutoka_mafinga_buguruni posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share