Mswahili

Mswahili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mswahili, Dar es Salaam.

Vita vya Anglo-Zanzibar, vilivyopiganwa tarehe 27 Agosti 1896. Muda wa Vita: Vita hivi vilidumu kwa kati ya dakika 38 na...
27/03/2026

Vita vya Anglo-Zanzibar, vilivyopiganwa tarehe 27 Agosti 1896.

Muda wa Vita: Vita hivi vilidumu kwa kati ya dakika 38 na 45 tu kabla ya Zanzibar kujisalimisha.
Wapiganaji: Vilikuwa kati ya Dola la Uingereza na Usultani wa Zanzibar.

Sababu: Chanzo kilikuwa ni kifo cha ghafla cha Sultan Hamad bin Thuwaini. Mpwa wake, Khalid bin Barghash, alijitangaza kuwa Sultan mpya bila idhini ya Uingereza, jambo ambalo lilikiuka mkataba wa mwaka 1890 ulioweka Zanzibar chini ya ulinzi wa Uingereza.

Tukio la Vita: Baada ya Khalid kukataa amri ya kuondoka ikuluni, meli tano za kivita za Uingereza zilianza kushambulia ikulu saa 9:02 asubuhi. Kufikia saa 9:40 asubuhi, mashambulizi yalikoma baada ya bendera ya Sultan kuangushwa.

Matokeo:
Zaidi ya watu 500 wa upande wa Zanzibar walikufa au kujeruhiwa.
Upande wa Uingereza, baharia mmoja tu alijeruhiwa.

Sultan Khalid alikimbilia ubalozi wa Ujerumani kwa hifadhi, na Waingereza wakamtawaza Sultan Hamoud bin Mohammed k**a kiongozi mpya

26/03/2026

Matumizi ya mafuta ya parahute

26/03/2026

Ujumbe uwafikie 🤣

25/03/2026

wafanya biashara za online kuna jambo lenu huku Mswahili

Set ya Mats za mezani 20,000/=   Food Chopper ya kukatia mboga na viungo 35,000/=
07/02/2024

Set ya Mats za mezani 20,000/=
Food Chopper ya kukatia mboga na viungo 35,000/=

Hotpots na dinner set za Bei nafuu, kujiunga kwenye group letu la Vyombo Bei nafuu  Tuma text WhatsApp kupitia 068778255...
27/11/2023

Hotpots na dinner set za Bei nafuu, kujiunga kwenye group letu la Vyombo Bei nafuu Tuma text WhatsApp kupitia 0687782553

Oven imara Lita 48 kwa 150,000/= tu
23/10/2023

Oven imara Lita 48 kwa 150,000/= tu

Set ya vikombe 6 kwa shilingi 15000/= tu Mikoani tunatuma kwa uaminifu kabisa.
23/10/2023

Set ya vikombe 6 kwa shilingi 15000/= tu
Mikoani tunatuma kwa uaminifu kabisa.

Chujio hizi unazipata kwetu ni imara Sana, zina kaa pieces 7. Kwetu unapata kwa 20,000/= tu.
23/10/2023

Chujio hizi unazipata kwetu ni imara Sana, zina kaa pieces 7. Kwetu unapata kwa 20,000/= tu.

 Jipatie masufuria mazuri na mazito (Non-stick) kwa Bei nafuu kabisa. Piga  #0687782553 kwa order au maswali. Karibuni S...
23/10/2023

Jipatie masufuria mazuri na mazito (Non-stick) kwa Bei nafuu kabisa. Piga #0687782553 kwa order au maswali. Karibuni Sana.

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 20:00
Tuesday 08:00 - 20:00
Wednesday 08:00 - 20:00
Thursday 08:00 - 20:00
Friday 08:00 - 20:00
Saturday 08:00 - 20:00

Telephone

+255687782553

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mswahili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mswahili:

Share