MAMA MIA’S SOKO

MAMA MIA’S SOKO EARN while Spending on your daily expenses. Lipwa unapotumia. Faida kwa Wauzaji na Wanunuzi.

26/05/2026

Ms Dorice Malle- Mwenyekiti wa GS1 Technical Committee, Aki ikabidhi, Tuzo ya Miaka 15 ya GS1 Tanzania kwa Mkurugenzi Mkuu wa TIRDO Prof Madundo Mtambo, mara baada kuwasili nchini kutoka nchini Poland, iliyotunukiwa na GS1 Global Assembly na CEO wa GS1 Tanzania Mhe. Fatma Kange (Mb ) EALA ( Mteule) na Mwakilishi wa Bodi Ally Sechonge, katika viwanja vya TIRDO jana. Pembeni ni Ndugu Humphrey Ndossy Mkurugenzi wa Utafiti Viwanda TIRDO.

30/08/2025

Tunakuletea fursa kubwa TANZANIA.. Badilisha Matumizi yako ya kila siku kuwa Mtaji!! tafadhali tupigie simu kwa maelezo zaidi!

Wanawake na Vijana Wajasiriamali

Mama Mia’s Soko: An Exciting Upgrade is Coming!After 7 incredible years of serving you, Mama Mia’s Soko is getting a maj...
11/07/2025

Mama Mia’s Soko: An Exciting Upgrade is Coming!
After 7 incredible years of serving you, Mama Mia’s Soko is getting a major upgrade! We’ve listened to your feedback and are pivoting our website portal to create a smoother, smarter, and more seamless business experience for both vendors and consumers.

From July 12, 2025, our current platform will be temporarily offline as we transition to:

1. A brand-new system designed for better performance

2. A dedicated mobile app for easier access on the go

3. Digital lending solutions for B2B & B2C to support your growth

This upgrade is all about you—making transactions faster, simpler, and more rewarding!

We can’t wait to unveil the new Mama Mia’s Soko—stay tuned for more updates!

********
Mama Mia’s Soko: Maboresho Yanakuja!
Baada ya miaka 7 ya mafanikio katika kuwahudumia, Mama Mia’s Soko inafanyiwa maboresho makubwa! Tumeyasikiliza maoni yenu na sasa tunarekebisha jukwaa letu la mtandao ili kuwapa wafanyabiashara na wateja uzoefu ulio laini, nadhifu, na rahisi zaidi.

Kuanzia tarehe 12 Julai 2025, jukwaa letu la sasa litazimwa kwa muda tunapohamia kwenye:

1. Mfumo mpya kabisa ulioundwa kwa utendaji bora zaidi

2. Programu maalum ya simu (mobile app) kwa urahisi wa kufikia huduma popote ulipo

3. Suluhisho za mikopo ya kidigitali kwa ajili ya B2B na B2C kusaidia ukuaji wenu

Uboreshaji huu unakuhusu WEWE—kufanya miamala iwe haraka, rahisi, na yenye manufaa zaidi!

Tunatazamia kwa hamu kukuletea Mama Mia’s Soko mpya—endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi!



Plan to be there, usikose hii siku maalumu kwa wajasiriamali. Contact organizers to confirm your participation.
20/06/2025

Plan to be there, usikose hii siku maalumu kwa wajasiriamali.
Contact organizers to confirm your participation.

Is your school serving 1000+ meals daily? Upgrade to a modern, efficient, and cost-saving kitchen with our complete clea...
18/06/2025

Is your school serving 1000+ meals daily? Upgrade to a modern, efficient, and cost-saving kitchen with our complete clean cooking set!

Introducing Our Ready-Made School Kitchen Package!

Designed for high-capacity cooking and durability, this package includes everything your institution needs:

1x Large Stainless Steel Gas Cooker (30kg, 100L)
1x Extra-Large Stainless Steel Gas Cooker (50kg, 150L)
1x Industrial Stainless Steel Gas Cooker (70kg, 200L)
1x Open Double Burner Gas Stove
1x 50-Loaf Gas Oven
1x Pressure Cooker (25kg, 75L)
3x Stainless Steel Cooking Spoons
3x 38kg Gas Cylinders
1x Installation & Fittings (Up to 5m piping)
Total Package Price: TSh 17,708,000

Why Schools Choose This Package:

High-capacity cooking: Easily handles 1000+ meals daily.
Durable & Easy to Clean: All stainless steel for longevity.
Hassle-Free: Full installation included.
Peace of Mind: 1-year warranty & servicing.
Flexible Payment Options:

Pay in Full: Get fast delivery.
30% Advance (TSh 5,312,400): Pay the balance upon delivery.
Bank Loan (6.5% interest for 1 year): Enjoy easy installments.
Ready to Transform Your Kitchen?

Visit: https://chap.ilinkbiz.com/c/cmaow63c4000gl50463qhoqwn
Select your preferred payment method.
Get installed and enjoy clean, efficient cooking!
Need a custom quote? Email [email protected]

Act Now & Transform Your School’s Kitchen Today!

Attention Women Trailblazers!!! 🚀 Join the July Cohort of the Women Leaders Network on July 7th, 2025, to learn “How to ...
12/06/2025

Attention Women Trailblazers!!!

🚀 Join the July Cohort of the Women Leaders Network on July 7th, 2025, to learn “How to Access Soft Loans from Financial Institutions.”

Secure your future and expand your opportunities.
Limited to 12 seats!

Register now via the QR code.

Kwa wanachama wapya na wa zamani … tunafuraha kuwaletea huduma bora kwa wanachama wote wa Mama Mia’s SokoFaida zimebores...
19/04/2025

Kwa wanachama wapya na wa zamani … tunafuraha kuwaletea huduma bora kwa wanachama wote wa Mama Mia’s Soko
Faida zimeboreshwa kwa ajili yako kuhakikisha kila mmoja ana nufaika mtandaon!
Ni Simple sana:
1. Lipia uanachama au renew package yako ya mwaka; furahia faida zako
2. ⁠Shirikisha watu atleast wawili k**a bado hujafanya wawe wanachama Ili uanze kupokea Malipo ya commissions za mauzo.
3. ⁠Nunua bidhaa toka kwa wauzaji wetu zisizopungua za 50,000 kwa mwezi- kwa matokeo mazuri Fanya ya laki 1 kwa mwezi au zaidi.
4. ⁠Ongeza kusajili wanachama waliolipia na ambao wa bure
5. ⁠POKEA MALIPO KILA JUMATANO NA TAREHE 1 ya kila mwezi.

Ongoing training sessions at the Mama Mia’s Soko - Kariakoo office. Mafunzo endelevu kwa wanachama wa Mama Mia’s Soko ka...
11/04/2025

Ongoing training sessions at the Mama Mia’s Soko - Kariakoo office.

Mafunzo endelevu kwa wanachama wa Mama Mia’s Soko katika ofisi ya Kariakoo.

Learn to DO WELL.

At the heart of Dar es Salaam Tanzania, Kariakoo Businesses serve not only Tanzania but the surrounding land locked coun...
26/03/2025

At the heart of Dar es Salaam Tanzania, Kariakoo Businesses serve not only Tanzania but the surrounding land locked countries. This has always been the Vibrant marketplace and the major contributor to the National GDP.

Let’s connect and reconnect with the Kariakoo Business network.

Are you invited?

Visit our Kariakoo Office at Nyamwezi and Amani Street.

MASTERING THE LANGUAGE OF INVESTORSWith over 12 years of innovation, Dorice Malle, CEO of iLink Limited, understands the...
24/02/2025

MASTERING THE LANGUAGE OF INVESTORS

With over 12 years of innovation, Dorice Malle, CEO of iLink Limited, understands the power of strategic networking. In an interview with Rising Woman, she shares how speaking the language of investors can sharpen networking skills and drive success in meeting client needs.

Read her inspiring story in The Citizen newspaper, website, social media and on MwanaClick this Monday, February 24, 2025.




🎉 Celebrating Our Founder & Female Innovator! 🎉Join us to celebrate our amazing founder, Ms Dorice Malle, who has won th...
23/02/2025

🎉 Celebrating Our Founder & Female Innovator! 🎉

Join us to celebrate our amazing founder, Ms Dorice Malle, who has won the TEHAMA AWARD 2025 for Female Innovator! 🏆 This incredible achievement recognizes her dedication to empowering women in ICT and creating positive social impact through technology.

Thank you to the Ministry of ICT Tanzania, the ICT Commission, Deloitte, and all the partners for this inspiring initiative. And a huge shoutout to our incredible team and, most importantly, our amazing customers - you’re the reason we do what we do! ❤️

This award fuels our passion to continue innovating and delivering the freshest, highest-quality produce through Mama Mia’s Soko. Here’s to a brighter future for women in tech and for all of Tanzania!

Address

Kinondoni
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 20:00
Tuesday 09:00 - 20:00
Wednesday 09:00 - 20:00
Thursday 09:00 - 20:00
Friday 09:00 - 20:00
Saturday 09:00 - 20:00

Telephone

+255765658595

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MAMA MIA’S SOKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to MAMA MIA’S SOKO:

Shortcuts

Share