Claret Catholic Centre

Claret Catholic Centre Claret Catholic Centre is a Catholic Bookstore under Claretian Missionaries.

It is part of Claretian Publications which is a member of Claret Publishing Group, a consortium of the publishing houses of the Claretian Missionaries all over the world.

X
31/03/2023

X

23/01/2023
Vazi hili la kijani huvaliwa wakati wa  kuadhimisha kipindi cha  mwaka wa kanisa.
29/02/2020

Vazi hili la kijani huvaliwa wakati wa kuadhimisha kipindi cha mwaka wa kanisa.

Vazi hili la kijani huvaliwa wakati wa kuadhimisha kipindi cha mwaka wa kanisa.

Mt. Zenobi, Padre;Kijani,Zaburi: Juma 2. SOMO 1: Yak. 2: 1-9Ndugu zangu, imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utuku...
19/02/2020

Mt. Zenobi, Padre;Kijani,Zaburi: Juma 2. SOMO 1: Yak. 2: 1-9Ndugu zangu, imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwe nayo kwa kupendelea watu. Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu mwenye pete ya dhahabu na mavazi mazuri, kisha akiingia na maskini, mwenye mavazi mabovu; nanyi mkimstahi yule aliyevaa mavazi mazuri, na kumwambia, “Keti wewe hapa mahali pazuri;” na kumwambia yule maskini, “Simama wewe pale, au keti miguuni pangu,” je! [ 426 more words ]

SOMO 1: Yak. 2: 1-9Ndugu zangu, imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwe nayo kwa kupendelea watu. Maana akiingia katika sinagogi lenu mtu

Mt. Konradi, Mtawa;Kijani,Zaburi: Juma 2, SOMO 1: Yak.1: 19-27Ndugu zangu wapenzi, mnajua kwamba kila mtu na awe mwepesi...
19/02/2020

Mt. Konradi, Mtawa;Kijani,Zaburi: Juma 2, SOMO 1: Yak.1: 19-27Ndugu zangu wapenzi, mnajua kwamba kila mtu na awe mwepesi kwa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika; kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu. Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwa ndani, liwezalo kuziokoa roho zenu. Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu. [ 420 more words ]

Mt. Konradi, Mtawa;Kijani,Zaburi: Juma 2, SOMO 1: Yak.1: 19-27Ndugu zangu wapenzi, mnajua kwamba kila mtu na awe mwepesi kwa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika; kwa maana hasira

Mt. Teotoni, Abati;Kijani,Zaburi: Juma 2. SOMO 1: Yak. 1: 12-18 Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukub...
17/02/2020

Mt. Teotoni, Abati;Kijani,Zaburi: Juma 2. SOMO 1: Yak. 1: 12-18 Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao. Mtu ajaribiwapo, asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu;” maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu mtu. Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti. [ 371 more words ]

SOMO 1: Yak. 1: 12-18 Heri mtu astahimiliye majaribu; kwa sababu akiisha kukubaliwa ataipokea taji ya uzima, Bwana aliyowaahidia wampendao. Mtu ajaribiwapo

Address

Kimara
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:30
Tuesday 09:00 - 17:30
Wednesday 09:00 - 17:30
Thursday 09:00 - 17:30
Friday 09:00 - 17:30
Saturday 09:00 - 00:30

Telephone

+255784496155

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Claret Catholic Centre posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Claret Catholic Centre:

Shortcuts

Share