Mjasiliamali mdogo

Mjasiliamali mdogo Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mjasiliamali mdogo, Shopping & retail, kigogo freshi, Dar es Salaam.

Tunauza mashuka yaliyodariziwa na kuwekwa nakshi za kisasa,mazuria ya kufutia miguu,vitambaa Vya makochi, au sofa na tunauza maforonya
bei nafuu na bidhaa ni zenye ubora tunakuletea popote ulipo ukishaagiza

08/07/2024

Habari zenu marafiki ni habari njema kuwajulisha kuwa huo mziki pamoja na spika zake yaani mixer and it's two speakers zinauzwa tena ni kwa bei ya TSH 1200000/= unaweza kutumia katika shughuli zako zote sehemu za ibada,matamasha,kukodisha,mabaa, birthday party, kigodoro, ukumbi wa video, umetengenezwa japani unajitwalia kitu cha kijapani bila kuvuka maji kwa bei nafuu sana pugu kinyamwezi dar

07/07/2024

Karibuni sana jamaniiiii hii page ni kwa ajili yenu

Tunauza mashuka yaliyodariziwa na kuwekwa nakshi za kisasa,mazuria ya kufutia miguu,vitambaa Vya makochi, au sofa na tunauza maforonya
bei nafuu na bidhaa ni zenye ubora tunakuletea popote ulipo ukishaagiza

07/07/2024

Pikipiki hiyo hapo nauza kwa pesa ya kitanzania shilingi laki tano tuuuu haina udalali pugu kinyamwezi dar 0712199614

Amazing Marcus Njelekela
12/05/2023

Amazing Marcus Njelekela

Watu wa kazi karibu kwa matengenezo ya vifaa vinavyotumia umeme, zikiwemo amplifier repair na kuiunda,pasi za umeme,jagi...
12/05/2023

Watu wa kazi karibu kwa matengenezo ya vifaa vinavyotumia umeme, zikiwemo amplifier repair na kuiunda,pasi za umeme,jagi la kuchemshia maji,air blower, TV repair services,radios, DVD player, speakers repair, Sat dishes installation, inverter repair na kuunda inverter, solar panels installation, vile vile home electrical installation kwa gharama nafuu sana nipeni kasi

Mwamba huyu hapaaa
03/03/2023

Mwamba huyu hapaaa

21/02/2021

Nawatakia juma pili njema

Tunauza mboga za majani aina ya spinachi,sukumawiki,bamia,majami ya kunde,majani ya maboga,matembele  na miwa inapatikan...
08/07/2020

Tunauza mboga za majani aina ya spinachi,sukumawiki,bamia,majami ya kunde,majani ya maboga,matembele na miwa inapatikana kwa kiasi chochote unachohitaji karibuni wateja wangu wote maduka makubwa na madogo wanaouza vyakula na mboga mboga,mashule,migahawa ya chakula,hotel,mtu mmoja mmoja,wenye sherehe,na wote wanaotumia mboga za majani katika shughuli zao nawakaribisha wasiliana nami kwa [email protected] au 0712199614

24/05/2020

Nawatakieni watanzania wote waislam na wasio waislam Eid mubarak na kila lenye kheri liwapate

14/05/2020

K**a una biashara yako unataka itangazwe humu pia unaweza tuma ujumbe wako inbox katika page hii utatangazwa nasi

14/05/2020

Karibuni wateja k**a unahitaji viatu,nguo,mashuka hata vitu vya electronic tuma ujumbe katika page hii nitakufikia pata kila unachotaka

Tunatengeneza Mageti aina zote ,madirisha,vitanda Vya chuma,nk tunatengeneza Kazi nzuri kabisa na za kisasa kwa muda wa ...
28/02/2019

Tunatengeneza Mageti aina zote ,madirisha,vitanda Vya chuma,nk tunatengeneza Kazi nzuri kabisa na za kisasa kwa muda wa masaa 24 Kazi ya mtu hailali, kwa bei nafuu kabisa tunapatikana dar pugu kinyamwezi hapa mkabara na kituo cha daradara tunawakaribisha sana wateja wetu wasiliana nasi kwa no 0717000958
0625495000
0765979635
0712199614
Tunapokea order mahali popote tunakufikia tupo vizuri

Address

Kigogo Freshi
Dar Es Salaam

Telephone

+255712199614

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mjasiliamali mdogo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share