Tik Tok Fashion 2

Tik Tok Fashion 2 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tik Tok Fashion 2, Shopping & retail, Kinondoni Manyanya, Dar es Salaam.

A good shoes is a woman confidence stimulant.Sisi    ni wauzaji wa viatu na si bora viatu.Kwenye maduka yetu yote. Kuna ...
06/11/2019

A good shoes is a woman confidence stimulant.

Sisi ni wauzaji wa viatu na si bora viatu.

Kwenye maduka yetu yote. Kuna viatu bora, na bei nzuri sana.

Pia tunasaidia wateja kununua hot brand shoes, hivo utapata outlet all brand shoes na ukitaka za moto tuta shop kwaajili yako.
Tu inbox kusikia deals za mpaka 50% off kipindi cha misimu kwa brand shoes tofauti tofauti.



Kiatu hiki ni chepesi kuvaliwa ofisini, sherehe na kutokea katika shughuri mbali mbali.Ziko rangi mbili. N**e na nyeusi....
06/11/2019

Kiatu hiki ni chepesi kuvaliwa ofisini, sherehe na kutokea katika shughuri mbali mbali.

Ziko rangi mbili. N**e na nyeusi.
N**e ni rangi neutral ambayo trend yake bado haijatoka katika fashion na style.
Rangi hii hutumika kupooza nguo zenye rangi za kung'aa.

Karibu kupata kiatu hiki. Size 35, 36, 37, 38 na 39 kwenye maduka yetu yote.

I hope you know the next It Bag ,   Zipo dukani kwetu pcs chache. Black, Brown, Green army
20/09/2019

I hope you know the next It Bag ,

Zipo dukani kwetu pcs chache. Black, Brown, Green army



Available  Size: 36, 37, 38, 39
20/09/2019

Available


Size: 36, 37, 38, 39

19/09/2019
Pick Ur color ❤Available Size: 36, 37, 38      Wateja wa jumla Kariakoo. Inbox kupata ua la week hii la vijola. 🔥 Jumla ...
17/09/2019

Pick Ur color ❤

Available
Size: 36, 37, 38



Wateja wa jumla Kariakoo. Inbox kupata ua la week hii la vijola. 🔥 Jumla tuu.

Sneak Peak to our dropping soon collection. Lit 🔥🔥 All brand Ngoja nikwambie kitu. We are proud to say that..TUMEKUWA.  ...
09/04/2019

Sneak Peak to our dropping soon collection. Lit 🔥🔥 All brand

Ngoja nikwambie kitu. We are proud to say that..TUMEKUWA. We thank God. Sasa habari njema katika kukua kwetu kibiashara ni PUNGUZO la bei.

Viatu vyetu. vitauzwa kwa bei rahisi sana sana.

Tuanze na SALE hii tumeiita PASAKA mpaka EID Sale. Viatu heels zote 50,000Tshs Kwa store za Dar es Salaam. Iringa Store 35,000Tshs. ORIGINAL BRAND.

Asanteni wateja wetu kwa kutuvumilia na kutusaidia kukua. Bila nyie hatuwezi. Tuna Zawadi kwa kila mteja wetu.

Hii ndio heleni inyovaliwa zaidi na Ma star Dar.Usipitwe na trend.Piga simu namba 0743 73 33 29.Ulete ulipo Ndani na nje...
16/01/2019

Hii ndio heleni inyovaliwa zaidi na Ma star Dar.
Usipitwe na trend.
Piga simu namba 0743 73 33 29.
Ulete ulipo Ndani na nje ya Dar itatumwa kwa sh. 15,000Tshs tuu.

Karibu

Whatsapp na picha hii kutoa order yako.
Karibu.

Address

Kinondoni Manyanya
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tik Tok Fashion 2 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share