Smartsolutionstz

Smartsolutionstz -Selling of Electronic accessories & services
-Selling of ICT accessories & services
-Selling of Do

-Selling of Electronic accessories & services
-Selling of ICT accessories & services
-Selling of Door, TV, & Window Alarm systems
-Email marketing

12/06/2026

KUMBE UNAWEZA KULINDA NYUMBA AU OFISI YAKO KWA SIMU YAKO TU! 🔥
Huna haja ya nyaya, huna haja ya fundi wala umeme, na HULIPI BILI YA TANESCO!
Hii hapa 4G/Wi-Fi Solar PTZ Camera ya kisasa kabisa.
Inanasa kila kitu kuanzia mchana hadi usiku wa giza totoro kwa ubora wa HD.
Kwa nini ununue leo?
1 Haitegemei umeme wa gridi (Inatumia Solar).
2 Inakutumia taarifa kwenye simu yako sekunde ile ile mtu akikatiza.
3 Inahifadhi video zote.
⚠️ Zimebaki pc chache sana stoo! Usisubiri hadi yakukute ndio ujute.
📞 Piga/WhatsApp sasa hivi +255713875010ili tukuletee ulipo!

10/06/2026

Ni Alarm ya Dirishani
Hii alarm unaweka dirishani
-Mwizi akisogeza dirisha tu alarm itapiga
-Inatumia betri
-Unafunga mwenyewe
-Dirisha moja zinakaa mbili upande wa kushoto na kulia
Faida:
-Kabla mwizi hajavunja Grill lako alarm hii itakuwa imeshapiga kelele
-Italinda mali zako
-Itafukuza mwizi
Malipo ya mzigo ni hadi ukipokea mzigo wako kwa agent wetu
Na gharama ya kusafirisha mzigo ni yako mteja utalipa ili mzigo utumwe
Tunapatikana:
-Dar Ilala bungoni
+255713875010
Bei:Tzs 10,000/-

09/06/2026

Moja ya faida kubwa ya hii bulb hapo kwako!
inakusaidia kujua eneo k**a kuna mtu amepita au yupo maana taa itajiwasha ghafla tu akiingia
Lakin pia ita save Luku

09/06/2026

Vibration alarm
Inatumia betri
Unapachika mwenyewe unaweka On
Tzs 25,000/-
+255713875010

08/06/2026

KUMBE UNAWEZA KULINDA NYUMBA AU OFISI YAKO KWA SIMU YAKO TU! 🔥
Huna haja ya nyaya, huna haja ya fundi wa umeme, na HULIPI BILI YA TANESCO!
Hii hapa 4G/Wi-Fi Solar PTZ Camera ya kisasa kabisa.
Inanasa kila kitu kuanzia mchana hadi usiku wa giza totoro kwa ubora wa HD.
Kwa nini ununue leo?
1 Haitegemei umeme wa gridi (Inatumia Solar).
2 Inakutumia taarifa kwenye simu yako sekunde ile ile mtu akikatiza.
3 Inahifadhi video zote.
⚠️ Zimebaki pc chache sana stoo!
Usisubiri hadi yakukute ndio ujute.
📞 Piga/WhatsApp sasa hivi +255713875010
ili tukuletee ulipo!

Taa za solar kuanzia Tzs 150,000-Karibu upate mwanga wa uhakika bila gharama+255713875010
08/06/2026

Taa za solar kuanzia Tzs 150,000-
Karibu upate mwanga wa uhakika bila gharama+255713875010

Ulinzi na usalama+255713875010
07/06/2026

Ulinzi na usalama
+255713875010

07/06/2026

Ni Alarm ya Tv!
Hii alarm unaweka nyuma ya Tv yako.
-Mwizi akigusa/kutikisa Tv alarm itapiga
-Inatumia betri
-Unafunga mwenyewe
Faida:
-Kabla mwizi hajachukua Tv itakuwa imeshapiga kelele
-Italinda Tv yako
-Itafukuza mwizi

Malipo ya mzigo ni hadi ukipokea mzigo wako kwa agent wetu

Na gharama ya kusafirisha mzigo ni yako mteja utalipa kabla ili mzigo utumwe

Tunapatikana:
-Dar Ilala bungoni
+255713875010
Bei:Tzs 25,000/-

06/06/2026

Kuweka eletrical fence katika eneo lako ni kuimarisha Ulinzi na usalama
Tupo hapa kukusaidia kuimarisha usalama wa nyumba yako

Solar Cctv camera ya Wifi au 4G sasa zipoIpate kwa Tzs 170,000/-
06/06/2026

Solar Cctv camera ya Wifi au 4G sasa zipo
Ipate kwa Tzs 170,000/-

Address

Dar Es Salam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Smartsolutionstz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Smartsolutionstz:

Share