25/12/2025
25.12.2018 Dar es Salaam tulizindua kitabu chenye kichwa “Mtoto wa Nuru” kilichobeba taswira ya maisha halisi ya marehemu Emmanuel Mathias alifahamika k**a Mc Pilipili enzi za uhai wake. Kitabu kili/kinasimulia mapito wanayopitia watoto uzao wa kwanza au lango la familia na kila familia ina mtoto wa aina hiyo.
Ikiwa pamoja na kumuombea kaka yetu Emma aendelee kupumzika kwa amani pia tunampango wa kukizambaza tena na kwa sasa hakitauzwa bali kitatolewa bure.
Pumzika kwa amani kaka.