Karibu Genisy Airticketing

Karibu Genisy Airticketing Ticket Sells

Karibu Mbeya is a social platform for connecting small entrepreneurs who produce local products or providing other services to meet with their targeted market.

Leave behind your worries we will take care of your trip. Call 0753838876,WhatsApp 0718755975.
25/08/2018

Leave behind your worries we will take care of your trip. Call 0753838876,WhatsApp 0718755975.

Je wajua njia moja wapo ya kukufanya upate tiketi ya ndege kwa bei nafuu ni pamoja na ku-book tiketi yako mapema?Kumbuka...
22/08/2018

Je wajua njia moja wapo ya kukufanya upate tiketi ya ndege kwa bei nafuu ni pamoja na ku-book tiketi yako mapema?

Kumbuka, Genisy Air ticketing tuko kwa ajili yako na tutakuhudumia wakati wowote ( masaa 24). Genisy Airticketing tunakuwezesha mteja wetu kuchana mawingu.

WHATSAPP 0718755975, CALL 0753838876

Karibu tukuhudumie. Call 0753838876, WhatsApp 0718755975
21/08/2018

Karibu tukuhudumie. Call 0753838876, WhatsApp 0718755975

LEAVE BEHIND YOUR WORRIES, WE WILL TAKE CARE OF YOUR TRIP. WHATSAPP 0718755975, CALL 0753838876.
21/08/2018

LEAVE BEHIND YOUR WORRIES, WE WILL TAKE CARE OF YOUR TRIP. WHATSAPP 0718755975, CALL 0753838876.

Genisy Airticketing ni wakala wa mashirika ya ndege Tanzania na duniani kote. Tupigie sasa na tutakuhudumia wakati wowot...
21/08/2018

Genisy Airticketing ni wakala wa mashirika ya ndege Tanzania na duniani kote. Tupigie sasa na tutakuhudumia wakati wowote ( masaa 24). Genisy Airticketing tunakuwezesha mteja wetu kuchana mawingu.

WHATSAPP 0718755975,
CALL 0753838876

21/08/2018

Genisy Airticketing ni wakala wa mashirika ya ndege Tanzania na duniani kote. Tupigie sasa na tutakuhudumia wakati wowote ( masaa 24). Genisy Airticketing tunakuwezesha mteja wetu kuchana mawingu.

WHATSAPP 0718755975,
CALL 0753838876

29/07/2016

Juzi kuna jamaa yangu kupitia akaunti yake ya fesibuku akatangaza kuwa analiuza gari lake.

Basi akapigiwa simu nyingi sana na watu kibao wakitaka kununua gari hilo.

Akanipigia simu usiku na kuniambia kuwa kesho yake tuonane asubuhi na mapema yaani jana kwani kampata dada mmoja anataka kulinunua gari hilo hivyo nimsindikize akamwonyeshe na niwe shahidi wauziane.

Nikamtania sasa ndugu k**a shahidi utanipa asilimia ngapi?

Akaniambia usijali fuledi wewe twende gari likitoka una laki tatu zako hapa za haraka si wajua tena mjini mpipango na wenye kuiweka mipango ni sisi?

Basi jana mida ya saa nne akanifuata nyumbani na tukaondoka kwenda kuuza gari wakati huo mie nimewaambia nyumbani waandae maji ya kunyonyolea kuku kwani nilijua haitachukua hata saa gari litakuwa nimeuzika kwani ni jipya na mie nilijua nitapokea ka hela kangu ka ushahidi plus hamu ya kuku safari ikaanza.

Tukaondoka na tukiwa njiani yule dada akawa ameshatupigia simu zaidi ya mara nne vile mpaka mie nikaanza kumlaumu rafiki yangu kwa kuchelewa ili tumwahi mteja.

Akatuelekeza alipo na hatimaye tukafika bar moja na kukutana na dada mmoja aliyeonekana ni mishentown sana.

Kumwonyesha gari akasema hili ni bonge la gari na wakalitesti na jamaa yangu wakati huo kashatuagazia bia moja moja na supu.

Baada ya kulikagua na kuridhika akamwambia jamaa kuna mteja amabye ni mme wa yule dada anakuja pale na yeye huwa malipo anafanya moja kwa moja kwa nia ya mtandao hivyo yeye anahitaji laki tano tu ya kumleta mteja hivyo rafiki ajue k**a ataiseti kwenye bei au lah.

Saa moja baadae akaja jamaa mmoja ambaye alidaiwa kuwa mteja wakaliangalia gari naye akaridhika sana na wakaanza kuulizia kadi ya gari tukamwonesha akaridhika na kutupa round za bia pale tukisuribi sasa wafanye mambo tusepe.

Baada ya kula pale jamaa akatoa wazo waondoke na rafiki mwenye gari wakalipe bank na wakija iwe ni kuandikishana tu.

Mie nikatoa wazo ni vyema tumwite na mwite au twende kwa wakili, jamaa akadai poa poa ni wazo zuri na akaomba mie na mkewe tubaki tuendelee kunywa bia na kuagiza tutakacho.

Wakiwa wanataka kutoka yule mama akamwita rafiki yangu mwenye gari na kumwambia kwa kuwa wewe unaenda kulipwa huko basi nipe changu hapa hapa.

Jamaa akajikaguaa wee akawa na laki mbili na nusu cash ambayo alitakiwa kumlipa mdeni wake mmoja, mimi nikamwambia jamaa unajua nilitoka haraka home hivyo sina wala kwenye simu na hata hivyo simu yenye miamala iko home.

Basi mama akasema, "plz nakuamini ukiniletea uhuni utahama mjini"

Kisha akamwambia nitumie ya juu kwenye laini yangu ya simu na jamaa wakaondoka mie na mama tukabaki pale tukila bia na mie naletewa naweka kinywani tu.

Robo saa baadae yule dada aka............................... endelea kwa kufuata link http://tabasamunafuledi.blogspot.com/2014/07/soma-jinsi-jamaa-alivyolizwa-na-wajanja.html

29/07/2016

1. Japo maisha ni kusaidiana ni aibu na fedheha mwanaume kulishwa na mkewe.๐Ÿ™ˆ
2. Ni aibu na fedheha mwanaume kuhamia kwenye nyumba ya mkeo ukakala ukakoroma na taulo ukafunga..๐Ÿ™ˆ
3. Ni aibu na fedheha kuendesha gari la mkeo wakati wewe hujawahi kumiliki gari alafu unawaka wivu juu yake.๐Ÿ™ˆ
4. Ni aibu na fedheha kuishi na mwanamke ambaye wakwe zako wanajua kuwa anakuzidi uwezo.๐Ÿ™ˆ
5. Ni aibu na fedheha kumuoa mwanamke ambaye anamiliki uchumi wa familia hata watoto anasomesha yeye wewe unajivunia uume mkubwa au urefu wa kimo๐Ÿ™ˆ
6. Ni aibu na fedheha kila likizo unaenda kijijini kwa mkeo na watoto wote kisa yeye anazohela๐Ÿ™ˆ
7. Ni aibu na fedheha kukaa miaka mingi unamlaumu mkeo kuwa hazai wakati wewe huna hata mtoto wa kusingiziwa๐Ÿ™ˆ
8. Ni aibu na fedheha kumrudia mwanamke aliye kuacha yeye mwenyewe kipindi kirefu na akaamua kukurudia yeye mwenyewe tena kwa masharti kutoka kwake.๐Ÿ™ˆ
9. Ni aibu na fedheha kupewa zawadi ya kiwanja na wakwe zako siku ya send off.๐Ÿ™ˆ
10. Ni aibu na fedheha kujenga kwenye kiwanja...........................................................endelea hapa

http://tabasamunafuledi.blogspot.com/2016/07/japo-maisha-ni-kusaidiana-ni-aibu-na.html

Address

Mbeya
255

Telephone

0753838876

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Karibu Genisy Airticketing posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Karibu Genisy Airticketing:

Share

Category