rommy247

rommy247 Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from rommy247, Shopping & retail, Morogoro.

28/02/2026

Mwalimu Charity Akitanda, pamoja na kucheza na chaki alitafuta WHY yake....
WHY yake ilianza pale mama yake alipokua mgonjwa na ameshazunguka hospitali kubwa na maendeleo ni machache...
Alianza kumtibia mama, mama akiwa anatengemaaa mwisho wa mwezi wa CHARITY ilikua ni furaha ya kuingiziwa BONUS CHECK ( ni mshiko wa ziada hata k**a unatumia bidhaa hufanyi biashara)

Alipopona mama, na CHARITY akaamua aanze biashsra serious. Kwa muda wa ziada alifanya biashara hii huku akiendelea na UALIMU

FAIDA ALIZOPATA NI 3 katika biashara hii...
1. Faida ya mauzo kila alipouza bidhaa
2. Fauda ya BONUS CHECK ( pesa mbali na mauzo) hii huingia kila mwezi
3. Faida ya INCENTIVE ( motisha) k**a hapo amesafiri akiwa amelipiwa kila kiti k**a kumpongeza kwa kazi nzuri ya biashara yake....
Kuna motisha ya pesa ya VOCHA, PESA n.k
Wewe, leo kwa muda wa ziada unafanya nini na Je unabiashsrs inayokulipa faida mara 3

K**a, unatamani kujenga kipato chako kwa muda wa ziada bila kuacha unachofanya tuma ujumbe 0678-992566
Na whatsapp 0625 939925

Auson Audax, ni kiongozi ambae nilimuona mara nyingi akifundisha katika mikutano mingi ila juzi nilipata nafasi ya kumsi...
27/07/2024

Auson Audax, ni kiongozi ambae nilimuona mara nyingi akifundisha katika mikutano mingi ila juzi nilipata nafasi ya kumsikia kuanzia mwanzo....

Alifundisha ya kuwa alipenda biashara hii kwasababu ya kusafiri tu na akaanza kuifanya seriously na mpaka sasa amefanikiwa ndoto yake ya kusafiri akiwa amesafiri destination zaidi ya 30....

Alipotimiza hii akaamua kuanza kufuatilia ndoto yake nyingine, alikua ni mtu anayependa magari na alipamba mno akaweza kupata gari yake ya ndoto AUDI 7 na anaelekea for more....

Hizo ni badhii ya ndoro alizofanikisha ila kikubwa ni jinsi alivyoamini atazifikia na akapambana kupitia fursa hii ya biashara aliyoipata na kuielewa

Aliweza sema neno moja pia; "HAKUNA HATA SIKU MOJA FILIMBI ITAPIGWA, UANZE KUFURAHIA MAISHA ILA WEKA KUSUDI LA KUFURAHIA MAISHA YAKO"

Natumaini umejifunza kitu hapaaa

Address

Morogoro

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when rommy247 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share