Afya Bora

Afya Bora �"Health is like money,we never have a true idea of its value until we lose it"�

JE WEWE UMEKUWA  UKIHANGAIKA KUDHIBITI UZITO ULIOPITILIZA,KITAMBI,TUMBO NA NYAMA UZEMBE?TUMEKUWA NA UZOEFU WA MIAKA MIWI...
13/08/2019

JE WEWE UMEKUWA UKIHANGAIKA KUDHIBITI UZITO ULIOPITILIZA,KITAMBI,TUMBO NA NYAMA UZEMBE?TUMEKUWA NA UZOEFU WA MIAKA MIWILI TUKIWASAIDIA WATU WENGI SANA KUDHIBITI HIZO CHANGAMOTO ZOTE HAPO NDANI YA SIKU 9 TU


tuna Program nzuri sana na ni Rafiki kwa Afya yetu Ambayo Itaenda Kufanya vitu Vifuatavyo:-

✏️ Kuyeyusha Mafuta Mabaya Katika Mwili(Bad Cholesterol)
✏️Kukata hamu ya kula kula Ovyo
✏️Kusafisha takamwili(Toxins) Ndani ya Mwili.
✏️Kukupa Nguvu za kutosha

Pi sio dawa bali ni Lishe na hazina Madhara kwa mtu yeyote.

TOFOLLOW
weight management


KUANZA SAFARI YAKO YA KUPUNGUA UNENE SASA KABLA UZITO HAUJAKUZIDIA

tupigie +255 764554505
WhatsAp +255 678945288

Kwa wale mliokuwa na mnaoangalia Video/picha za *###(Utupu)* na kujichuahii inawahusu.  *JE ULIWAHI KUANGALIA ### KWA MD...
16/07/2019

Kwa wale mliokuwa na mnaoangalia Video/picha za *###(Utupu)* na kujichuahii inawahusu.

*JE ULIWAHI KUANGALIA ### KWA MDA MREFU NA KUPIGA PUNYETO AU BADO UNAFANYA HIVYO*
📲📞+255 678 945 288

Asilimia kubwa ya Wanaume ambao waliwahi kujihusisha na Mambo ya *###* (picha na Video) au wamepiga *Punyeto(Masturbation)* Hukumbana na matatizo ya Upungufu wa nguvu za kiume ambapo Uume huwa Mdogo k**a wa mtoto mdogo, Uume kusimama legelege na kuwahi kufika kileleni ndani ya sekunde au dakika chache na pia kushindwa kuendelea na tendo la ndoa. Hii Hutokana na Mishipa kuwa dhaifu na kupungua kwa hisia za tendo la ndoa.

Sambamba na hii wengi wanaangalia video za *###* ambao huhalibu Kabisa na Kumchochea kufanya Punyeto ambapo hupata madhara pande zote hivyo linakuwa ni tatizo Kubwa. Ifahamike hata k**a Unaangalia *###* na Hufanyi *punyeto(Masturbation)* bado madhara ya kisaikolojia yanasababisha Upungufu wa nguvu za kiume na hamu ya tendo la ndoa. Pia Hupunguza msisimko wa tendo wakati Ukishiriki tendo lenyewe.

Kwa upande mwingine husababisha hata madhara ya kisaikolojia ambapo humfanya mwanaume aliyepata madhara hayo kukosa kujiamini au kushindwa kutongoza wanawake.

Pia kuna sababu nyingi zinazosababishwa na tatizo hili,Magonjwa k**a Presha,kisukari,ngiri na pia msongo wa mawazo.

Kwa upande mwingine Vyakula tunavyokula Hupelekea Mishipa kutokupitisha Damu k**a inavyotakiwa.

Kwa hili Usiwe na shida njoo tuzungumze, Utaelimishwa kwa Undani juu ya tatizo hilo na kupewa Ufumbuzi nini cha kufanya.

*Suruhisho ni kutumia virutubisho/Lishe na tayari tumewaandalia Package(Virutubisho)vyenye madini ya Zinc,Amino Acid na L-Arginine* Ambavyo vimekwisha saidia wengi na kazi kubwa sana ni kuimarisha mishipa na kurudisha mishipa katika hali yake ya kawaida na kupona kabisa tatizo,Na hata ambao Uume umekuwa mdogo kwa sababu ya punyeto, Unarudi katika hali yake y kawaida k**a zamani.

*Piga/Sms/WhtsApp
📱📞 +255 678 945 288*

Umekuwa ukihangaika kupunguza uzito mpaka umefika hatua Umekata tamaa! Tuna SOLUTION KWA ajili yeko.Kwa kutumi njia ya a...
03/07/2019

Umekuwa ukihangaika kupunguza uzito mpaka umefika hatua Umekata tamaa! Tuna SOLUTION KWA ajili yeko.

Kwa kutumi njia ya asili na salama kiafya utaweza kupunguza uzito, unene,kitambi na nyama uzembe.
Utabotesha Afya yako na kujisikia vizuri zaidi.

Habari njema kwako.
Nimeandaa group ambalo upata kujifunza kwa kina kwa nini watu wananenepa,wafanye nini ili wapungue n.k

Je nawe ni mmoja ya watu wanaotamani kupungua.
Nimekuwekea link hapo chini bonyeza link itakuleta moja kwa moja kwenye group ambalo utajifunza mengi.
https://chat.whatsapp.com/BYlRW5QDKOe1w0l2jA1h0J

26/11/2018

*MADHARA YA KUTOPATA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)*

Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata CHOO KIGUMU au KUTOPATA CHOO kabisa. Wengine hukaa siku nzima, siku mbili au tatu hata wiki bila kupata CHOO, wengine hupata CHOO KIGUMU hii ni hatari sana.... Usipuuzie.

Madhara ya KUTOPATA CHOO au kupata CHOO KIGUMU ni makubwa sana.

# Bawawili (Hemorrhoids)
Kutanuka kwa mishipa ya damu kunakotokana na nguvu nyingi unayotumia wakati wa kujisaidia. Hii hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.

# Kupasuka kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa. (A**l Fissure): Ni kutokana na nguvu nyingi inayotumika wakati wa kujisaidia. Hutokea sana kwa watoto.

# Kuchungulia kwa sehemu ya utumbo kwenye njia ya haja kubwa( Re**al Prolapse).

# Magonjwa ya utumbo. Kutokana na kinyesi kukaa kwa muda mrefu bila kutolewa hupelekea kupata maambukizi ya Magonjwa mengi yatokanayo na bakteria n.k na kwa muda mrefu hupelekea kupata kansa za utumbo.
Pia U.T.I, Mkojo kushindwa kutoka vizuri, maumivu ya sehemu ya mgongo n.k

NAMNA YA KUWEKA AFYA YAKO VIZURI NA KUJIONDOA KWENYE HATARI YA KUPATA CONSTIPATION, PIA KUSAIDIA KUFANYA KINYESI KUA LAINI.

Kuna njia nyingi sana za kuondoa hili tatizo, Mimi nitakuonesha niliyoitumia na niliyoqashauri wengi na ikawasaidia hata changamoto zingine nyingi.

Nimewasaidia wengi sana kwa kutumia virutubusho hivi viwili. Aloe vera Gel (juice) na Fields of green (vidonge).
Hivi ni virutubisho (sio dawa), zinatumika sana kuhakikisha afya yako ya mmeng'enyo wa chakula unakua vizuri na kukuondolea matatizo ya constipation.

Ni virutubusho asilia havijaongezwa radha, wala visindika vyenye kemikali.

1. ALOE VERA GEL.

Ina uwezo mkubwa wa kusafisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Imetengenezwa kwa aloe vera 99%. Na 1% ikiwa imeongezwa citric acid ya machungwa n.k kwa ajili ya kusindika.
Ina vitamin zaidi ya 12, madini 20 na amino acid 18. Mbali na kuboresha mmeng'enyo wa chakula pia husaidia ufanisi wa mifumo ya mwili, afya ya Ngozi, kuondoa sumu mwilini, kubalance sukari, n.k

2. FIELDS OF GREEN.
Hii ipo kwenye mfumo wa vidonge ili kurahisisha utumiaji. Imetokana na mboga za majani tofauti zenye mchanganyiko mzuri wa virutubisho.
Imetengenezwa kwa mboga mboga k**a ifuatavyo.

# Barley Grass: Hii inakiasi cha kutosha cha alkaline ambayo husaidia kuneutralize acidi tunayopata kutoka kwenye vyakula k**a mayai, nyama na sukari. Pia ina protease enzyme ambayo ni muhimu kwa ufyonzwaji wa vyakula vyenye protein.

# Alfalfa Grass: Hii ina amino acid 8, madini ya calcium, magnesium pia beta carotene. Pia ina Chlorophyll ambayo husaidia kuondoa simu mwilini. Calcium na magnesium ni muhimu kwa afya ya mifupa.

# Wheat grass: Hii ina madini ya calcium pia na magnesium. Wheat grass husaidia sana kubalance PH, kusaidia mmeng'enyo wa chakula na kuimarisha kinga ya mwili.

# Cayenne Pepper: Hii ina vitamin E kwa wingi, ina madini ya B complex. Husaidia sana kusafisha mmeng'enyo na kulainisha kinyesi.

# Selenium : hii husaidia kuondoa sumu mwilini, huzalisha insulin na pia huongeza ufanisi wa vitanini E.

KWA KUTUMIA ALOE VERA GEL NA FIELDS OF GREEN unapata faida nyingi mno sio tu kwa mmeng'enyo wa chakula na constipation.

Hiki ni chakula kizuri kwa uimara wa afya yako.

K**a unahitaji tutafute kwa namba +255678945288

Mikoani tunatuma pia.
Karibuni nyote.

 Je unasumbuliwa na matatizo ya macho?Je una ndugu ,jamaa rafiki au unawajua watu ambao huvaa miwani  ili waweze kuona i...
10/10/2018



Je unasumbuliwa na matatizo ya macho?
Je una ndugu ,jamaa rafiki au unawajua watu ambao huvaa miwani ili waweze kuona ila hawapendi kuvaa miwani??
Uvaaji wa miwani hufanya macho yaendelee zaid kutegemea miwani katika uonaji wake .
Bidhaa hii ya forever vision husaidia kuondokana na matatizo ya macho na imekuwa msaada kwa watu wenye matatizo ya macho hata k**a unatumia miwani

FOREVER VISION imetegenezwa kwa
mchaganyiko wa matunda na mboga mboga ambapo husaidia

# mzunguko wa damu kwenye macho na kufanya yaone vizuri
# kulinda letina ya jicho kutokana na caroteinoid inayopatikan kwenye mboga mboga na matunda
# kukupatia viondosha sumu k**a vitaminiA na E ya kutosha kuweza kulinda cornea ya jicho,
pia kwa wale wenye matatizo ya macho kukosa nguvu

NB;Nafahamu watu walioacha matumizi ya miwani Kwa kutumia bidhaa mbili,Forever Vision na Forever A Beta Care ,bidhaa zinajulikana duniani kote ni zimesaidia wengi duniani(ingia Google search Kwa majina hayo hapo juu)

huduma unapata popote ulipo kwa mawasiliano Zaidi piga *0678945288* Au *0746589685*

Zijue dalili za ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume-Uume kusimama ukiwa legelege-kuwa kumaliza tendo na kushidwa au kukaw...
18/08/2018

Zijue dalili za ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume
-Uume kusimama ukiwa legelege
-kuwa kumaliza tendo na kushidwa au kukawia sana kurudia tendo
-Kupungukuwa au kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa .n.k

Kwa msaada juu ya tatzo hili wasilina nam kwa namba.
0678945288

Je unasumbuliwa na ugonjwa wa bawasiri....wasilina nam kwa na...0678945288
18/08/2018

Je unasumbuliwa na ugonjwa wa bawasiri....wasilina nam kwa na...0678945288

JE UNAPATA CHANGAMOTO YA MENOAU UNAPATA TATIZO LA MENO MARA KWA MARA??SOMA HAPA NA JIULIZE MASWALI HAYA!1. Kwa nini meno...
26/07/2018

JE UNAPATA CHANGAMOTO YA MENO
AU UNAPATA TATIZO LA MENO MARA KWA MARA??

SOMA HAPA NA JIULIZE MASWALI HAYA!

1. Kwa nini meno yanauma wakati mwanzo hayakuwa yanauma?
2. Kwa nini unang'oa jino kisha tatizo lilelile linahamia jino lingine??
3. Kwa nini kinywa chako hata ukipig
a mswaki bado unatoa harufu mbaya?
4. kwa nini ukipiga mswaki fizi zinatoa damu?

Meno ni muunganiko wa mfupa wa jino, Fizi na Mishipa. Mara nyingi watu wengi huwa pale wanapoumwa na jino wanakimbilia kung’oa jino eti dawa ya jino kuling’oa jambo ambalo si kweli.
Tambua, unapoenda King'oa jino, unang'oa mfupa wa jino ila maradhi umeyaacha ktk fizi na mishipa ndani ya kinywa.
Fahamu kuwa kwenye kinywa cha mwanadamu kuna bakteria wanaoishi mdomoni wanaitwa NORMAL FRALER. Bakteria hawa ndio wanaotengeneza ute wenye Acid unaolainisha chakula kwa haraka mdomoni.
Lakini wanasababisha ugonjwa unaoitwa GINGIVAITES, ugonjwa huu husababisha fizi kutoa damu haswa unapopiga mswaki, lakini ukiachwa ukawa sugu unasababisha ugonjwa mwingine sugu MACHODIFECE,
Ugonjwa huu husababisha na hufanya meno kuoza ama kutoboka kutokana na bakteria.
AFINOTOBALASAD ni bacteria ambao huwa wanaingia ndani kwenye fizi kwa ajili ya kula damu. Hapo ndipo mtu hupatwa na tatizo la kuumwa na jino au meno.
ADUI WA MENO YETU NI FLUORIDE.
Flouride ni nzuri ila inatakiwa kuwa katika kiwango maalum, ikizidi ni mbaya kwa afya.
Changamoto ni dawa nyingi zina KIWANGO KIKUBWA
TUONE FLUORIDE INAVYO ATHIRI MENO NA AFYA KWA KWA UJUMLA.
Shirika la afya duniani [WHO] lilipendekeza kiwango cha fluoride kwenye majiya kunywa kiwe (0.5_1) mg/lite kutokana na madhara makubwa yanayotokana na fluoride, mataifa yaliyo endelea yanafanya mpango wa kuiondoa kabisa fluoride katika maji ya kunywa (Rejea andiko la Dr. Dean burk,mgunduzi wabiotin amefanya kazi National Institute of cancer huko Marekani kwa miaka zaidi ya thelathini) anasema fluoride iliyowekwa kwenye dawa ya meno imewekwa kwa kiwango kikubwa sana ndio maana wameandika kwamba
a. Usimeze, ukimeza kwa bahati mbaya muone dr wa meno. Jiulize umemeza mara ngapi??
b. Usibakize masalia ya dawa ya meno kwenye kinywa/Safisha kwa maji mengi
c. Mtoto chini ya umri miaka 6 asimamiwe na mtu mzima ili asimeze wala kuila
d. Swaki mara mbili hadi mara tatu kwa siku
e. Baada ya miezi 3 badilisha mswaki.
Haya ndo madhara ya utumiaji wa fluoride .
1. UBONGO
Ungunduzi wa kina wa kisayansi umegundua kuwa utumiaji wa fluoride unapunguza IQ (intelligence quotient) kwa watoto wadogo ambao bado ubongo wao haujakomaa.
2. MIFUPA.
Kiwango kikubwa cha fluoride kinadhoofisha mifupa na kupelekea watu wengi kuvunjika kirahiisi haswa kwenye kiwiko na kwenye hips
3. FIGO.
Wenye matatizo ya figo wanashauriwa wasitumie vitu vyenye fluoride kabisa inamadhara kwa figo zetu (fluoride induced nepharotoxicity)
4. MENO
Kiwango kikubwa cha fluoride hudhoofisha meno na kupelekea Kurusu mashambulizi wa wadudu kwenye kinywa ndo maana unapotoa jino hao wadudu huhamia tena jino lingine.
5. TYROID.
Fluoride husabisha kushindwa kutengeza thyroid hormone kwani huzuia iodine isijishike kwenye kemikali inayotumika kutengeneza thyroxine hormone na hii husababisha goiter na matatizo mengine yatokanayo na upungufu wa vitamin hii.
6. CANCER.
Fluoride ni chanzo kikubwa sana cha kansa kwenye mwili wa binadamu inapojikusanya kwa muda mrefu na hupelekea hata kupata madonda ya tumbo meno kuharibika n.k (Dr Dean USA).

JE NINI WAWEZA KUTUMIA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO HIYO YA MENO NA KINYWA?

SOMA HAPA:
Kuna dawa ya meno ambayo imetengenezwa kwa ubora Zaidi na kufanyiwa tafiti kubwa sana.
Imetengenezwa Kwa kiwango kikubwa cha ALOE VERA na ASALI...

Dawa hii hufanya kazi zifuatazo:
i. Haina fluoride, hukuepusha na madhara yote yatokanayo na FLUORIDE.
ii. Inashambulia Bacteria anaeharibu jino/kinywa
iii. Kuimarisha Fizi, mfupa wa jino na mishipa ya jino.
iv. Huzuia HARUFU mbaya kinywani hasa kwa wale wenye tatizo asili la kinywa kutoa harufu au ambao limetokana na athari za maradhi ya Kinywa.
v. Inaruhusiwa kumenzwa k**a tumbo linakusumbua/kuuma
Pia kwa uzoefu hutumika:
1. FIRST AID/huduma ya kwanza kwa kuungua, kujikata, mkwaruzo.
2. Kuondoa fungasi, mapunye, vipele, kuivisha jipu, kuponyesha vidonda, kulainisha koo, kutoa gesi tumboni.
Dawa hii hupatikana kwa gharama ya sh. elfu ishirini (20000) tuu.
Dawa hizi hazipatikani dukani,supermarkets wala pharmacy, Hunapatikana katika Centre zetu na hutolewa kwa taratibu za Kiofisi.

Kwa mikoani utapata huduma tunatuma kwa bus.

Kwa ajili ya kuipata piga simu:

+255678-945288
+255746-589685

Share na wengine

FAHAMU TATIZO LA KUTOKUPATA CHOO KWA WAKATI, KIGUMU, CHA DAMU NA KUOTA KINYAMA NJIA YA N KUBWA.                  (BAWASI...
26/07/2018

FAHAMU TATIZO LA KUTOKUPATA CHOO KWA WAKATI, KIGUMU, CHA DAMU NA KUOTA KINYAMA NJIA YA N KUBWA. (BAWASILI).

WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!

~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.

~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles

~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50

AINA ZA BAWASIRI

~Kuna Aina mbili za bawasiri

(A) BAWASIRI YA NDANI

~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili

~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa

~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne

(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pale panapohusika

(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.

(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe.

(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi

(B)BAWASIRI YA NNJE

~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS

CHANZO CHA TATIZO

~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷

👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU

👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO

👉MATATIZO YA UMRI

👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU

👉UZITO KUPITA KIASI

👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI

👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa

👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa

👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo

👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI

~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia.

~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia

👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZISIZOKOBOLEWA

👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku

👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU

MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI

👉kupata upungufu wa damu (anemia)

👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo

👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake

👉kuathirika kisaikolojia

👉kukosa moral ya kufanya Kazi kutokana na maumivu makali

KWA USHAURI ZAIDI WASILIANA KWA

0678945288

0746589685

*Whatsapp number *+255678945288*

VIDONDA VYA TUMBOVidonda vya tumbo ni uharibifu wa kuta za ndani ya tumbo,kwa maneno mengine-ni Majeraha ndani ya tumbo....
19/07/2018

VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo ni uharibifu wa kuta za ndani ya tumbo,kwa maneno mengine-ni Majeraha ndani ya tumbo.
Sell ndani ya mwili lazima zibaki katika kiasi kidogo cha *alkalini*kutoka 7.2 mpaka 7.4,wakati 7.0 ni ya kati au husemwa sufuri katika kipimo cha *HP*yaani *Potential Hydrogen*chini ya 7.0 ni Asidi na juu ya 7.0 ni Alkalini
Kila mtu anapaswa kula zaidi vyakula vyenyw alkarini,yaani matunda na mboga za majani na kunywa vinywaji vyenye Asidi chache na ikibidi basi atumie vinywaji vyenye alkalini nyingi k**a juisi ya limau,chungwa,zabibu na maji halisi
Kwa maneno Mengine hali ya Uasidi ndani ya mwili ndiyo hupelekea kusikia maumivu yatokanayo na Vidonda nya tumbo
Kutokana na tafiti za hivi karibuni,Takribani mtu mmoja katika kila watu kumi anasumbuliwa na vidonda vya tumbo
*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*
Dalili zitokakufanya ujihisi unavidonda vya tumbo ni pamoja na
1-kuchokachoka sana bila sababu maalum
2-kuuma mgongo na kiuno
3*-Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia
4-kizunguzungu
5-Kukosa usingizi
6-Usingizi wa mara kwa mara
7-Maumivu makali sehemu za mwili,kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali
8-kichefuchefu
9-Tumbo kujaa gesi
10-maumivu makali sehemu kilipo kidonda
11-Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatikakatika k**a cha mbuzi
12-kukosa hamu ya kula
13 -kula kupita kiasi
14-kusahau sahau na hasira

Maumivu hayo wakati mwingine hutokea mgongoni na kuchoma k**a sindano yenye sumu na kuacha maumivu makali.
Kwa kweli ni vigumu kuelezea maumivu ayapatayo mgonjwa wa vidonda vya tumbo hasa mwenye vidonda sugu,kwani hakuna hata kiungo kimoja kinachokuambia ni kizima.
*SABABU ZINAZOSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO*
Linapokuja suala la nini sababu ya vidonda vya tumbo unaweza ukapata stori nyingi bila idadi,lakini kwa kifupi kabisa..
Vidonda vya tumbo ni ishara za mwili kupungukiwa maji,na ni matokeo ya asidi kuzidi mwilini kuliko alkalini.
1- *Asidi iliyozidi mwilini*Unapokaribia kula chakula chochote au ukiwaza kutaka kula au ukiona tu msosi kwa macho,TUMBONI MWAKO HUZARISHWA Haidrokloriki asidi ili kuandaa na kuusaidia mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.Kadri unavyoendelea kuishi Haidrokloriki Asidi hiyo huenda kutoboa kuta za Tumbo na Hatimaye taratibu baadae hutusababishia Vindonda Vya Tumbo.
2- *Mfadhaiko wa Akili utokanao na shida za kimaisha*
Ni moja ya vipengere vikuu vinavyosababisha vidonda vya tumbo
*Mafadhaiko huongeza utiririkaji wa Asidi ndani ya tumbo.Hii asidi ya ziada ambayo Hutiririka ndani ya tumbo k**a matokeo ya mfadhaiko na hakuna chakula cha kufanyia kazi au kumeng'enywa Humomonyoa kuta za tumbo hivyo kusababisha vidonda vya tumbo
-Utafiti umefanyika katika miaka ya hivi karibuni umeonyesha kuwa akili hutumia sehemu kubwa ya nguvu za mwili.Baadhi ya madaktari wamesema mfadhaiko huchangia sana katika *kutokea kwa magonjwa mengi mwilini zaidi ya 50.*
_*Dalili za mtu mwenye mfadhaiko*_
-kujisikia husuni sana kiwango cha kutokuwa na matumaini yoyote
-kupoteza kabisa uwezo wa akili kufurahi
-kupoteza hamu ya chakula
-kukosa usingizi
-wasiwasi unaosababisha hali ya kutotulia kwa ujumla
-kupoteza kumbukumbu au hali ya kusahausahau na kushindwa kuamua
-kughadhibishwa na vitu vidogo,yaani mtu kitu kidogo ti anachukia
-kujiona huna thamani na kujitenga na marafiki na ndugu
3- *Vinywaji na vyakula vyenye kaffeina na Asidi nyingi*
Vinywaji vyenye caffeina na asidi nyingi k**a vile chai ya rangi,kahawa,soya sauce,mayonnaise,chakula jamii ya mkate,Samaki wa kwenye makopo,pombe,soda na juisi za viwandani.Pia huchangia kwa kiasi kikubwa katika kutokea kwa vidonda vya tumbo.

Na zingine k**a *Ulaji wa vyakula vya kusisimua*k**a vile ketchup,chill sauce,achali,pilipili na vingine vya jamii hii huchangia kwa kiwango fulani kudhuru neva za tumbo na havitakiwi kuliwa hasa kwa watu wenye vidonda vya tumbo.
EPUKA KUSUMBUKA NA VIDONDA VYA TUMBO package hii itakufanya Uishi maisha yenye furaha,Usikate tamaa na tatizo hili.
Ili kupata bidhaa hizi na nyingine nyingi kutoka forever living wasiliana nami kwa namba
+255678-945288
+255746589685

14/07/2018

HABARI

Natumaini mu wazima na mnaendelea na mapambano ya maisha haya katika shughuri zetu za kila siku
Leo tutaendelea na somo letu la kipindi kilichopita lililokuwa likihusu AFYA BORA.Katika kipindi kilichopita tuliweza kuona mambo ambayo unawezakuyafanya ili uwe na Afya Bora.Ambayo ni
1-Kunywa maji mengi
2-Pata usingizi wa kutosha
3-Kufanya Mazoezi

Basi leo tutaendeleaa na mambo mengine÷
4- Kula matunda kwa wingi
Matunda ni chanzo kizuri sana cha madini na vitamins ambazo miili yetu inahitaji sana ili iwe na afya bora.Unajua kuwa machungwa yanafaida kubwa zaidi kiafya kuliko vidonge vya vitamin c unavyobugia kila leo?
Aina mbalimbali za matunda ambayo yanavirutubisho vingi zaidi kiafya ni parachichi ( Avocado ), Apple, Matikiti maji , Zabibu nk.

5- Kula mboga za majani
K**a ilivyo kwa matunda mboga za majani(vegetables) ni muhimu sana kwa afya zetu.Wataalamu wa afya wameshauri kwamba tule aina 5 mpaka 9 za mboga za majani na matunda.Jitahidi kupata angalau zaidi ya aina 5 za mboga za majani na matunda.

6- Punguza au acha kula vyakula vya makopo
Kutokana na jinsi dunia inavyozidi kwenda mbio,watu wengi huw tunakosa mda wa kupika,matokeo yake tunakimbilia kwwnye vyakula vya kwenye makopo ambavyo ndivyo vimejaa kwenye maduna na ma-supermarket.Jithidi kuepuka vyakula hvyo kwa kadri unavyoweza.
Mara nyingi vyakula vya makopo huwa na ingredients ambazo hazifai kwa afya zetu,kwa mfano,vingi miongoni mwa vyakula hivyo huwa na chumvi nyingi kitu ambacho ni chanzo cha High Blood Pressure na maradhi ya moyo .
Unaposhidwa kabsa kujizuia kununua vyakula hivyo vya makopo jaribu kuangalia ambavyo havina sukari na chumvi.

7- Jipende
K**a nilivyodokeza hapo mwanzo,Afya Bora huenda sambamba na Afya ya Akili/Ubongo.Njia mojawapo ya kupata afya hiyo ni pamoja na kujipenda.Pengine unajiuliza kuna mtu ambae hajipendi?.Ukweli ni kwamba pengine ni kweli kuw hakuna mtu ambaye hajipendi.Tofauti inakuja pale mtu anapofanya vitu ambavyo ni kunyume kabisa na mapenzi ya mwili.
Mfano,uvutaji wa sigara,unywaji pombe kupindukia,kutokujisafisha mwili wako kwa mfano kuoga,kupiga mswaki naa pia kupumzika nk.
Hizo zote ni tabia zinazoweza kuonyesha jinsi ambavyo hujipendi au huupendi mwili wako.K**a unaupeda utautumia vibaya au Kuuharibu?.....Nahisi wote tutasema hapana

Somo letu hili litaishia hapa mi nikushauri kuwa zingatia sana Afya yako.Afya ikiimalika mafanikio yanakuja...
Kwa maswali na ushauri wasiliana nam kwa namba zifuatazo
+255678945288
+255746589685
Kupata bidhaa za forever living product .pia tumia no hizo au tembelea page yangu facebook andika AFYA BORA.

13/07/2018

HABARI ZA ASUBUHI

Napenda nitumie mda huu mchache kushare nanyi somo hili linalohusu AFYA BORA
watu tunapambana na maisha ya kila siku ili tuwe na Afya Bora zaidi na Furaha.Afya na Furaha ni mambo mawili makubwa sana katika maisha yetu.Ukichunguza sana takribani kila kitu tunachokifanya ni katika mpambano wa kimaisha wa kuwa na Afya Bora zaidi na furaha.
Je utafanyaje ili uweze kuwa na Afya Bora kila siku na sio mwezi mmoja au miwili tu?
Hili ni swali ambalo thamani yake ni zaidi ya dola milioni moja.Sote tunakubaliana kuwa Afya Bora ndiyo kila kitu,ukiwa tajiri kupindukia harafu ukawa na Afya mgogoro ni wazi kwamba huwezi kuzifurahia hizo hela zako.
Yafuatayo ni baadhi ya mambo unayoweza kuyafanya ili kuwa na Afya Bora.Lakini kabla sijaendelea mbele sana,naomba niweke wazi kwamba Afya bora haihusu kula vizuri na mazoezi peke yake bali pia Fikra chanya(positive attitude).Kuna umuhimu wa kuhakikisha kwamba siku zote unakuwa na mawazo chanya na kukaa karibu zaidi na watu wenye mawazo chanya.
1- *Kunywa maji mengi*
Naamini unajua kuwa maji ni uhai.Maji ni uhai siyo tu kwa mzingira yetu na dunia kwa ujumla bali pia kwa Afya na miili yetu.
Asilimia 60% ya miili yetu imesheheni maji,maji yanahitajika kwa ajili ya kuondoa takataka au vitu visivyofaa mwilini.
Maji ndyo hubeba virutubisho vya oxygen
Kwa hiyo miili yetu kwa wastani inahitaji lita 2 na nusu mpaka 3 za maji au glasi 8-9 za maji kila siku

Njia rahisi ya kujua k**a mwili wako unamaji wa kutosha ni katika kuangalia mkojo.Mkojo wako unatakiwa kutokuwa na rangi( *colorless* )au kuwa na njano kidogo.Kinyume na hapo ni ishara kwamba hauna maji ya kutosha mwilini
Njia nyingine kutambua ni pamoja na kukaukwa kwa midomo( *lips* ) na hata ulimi na pia kupata kiasi kidogo cha mkojo.

2- *Pata usingizi wa kutosha*
Unakumbuka tulipokuwa wadogo wazazi wetu walitusisitiza san kwmba twende tukalale mapema ili tukue?.Bila shaka walikuwa wanajua kwamba usingizi ni sehemu muhimu sa katika Afya.Ukiachilia mbali faida za usingizi kwa ajili ya afya za Akili/Ubongo wetu,usingizi au mapumziko ya kutosha ni muhimu kwa miili.Unapopumzika unaupa mwili nafasi ya kujijenga,kujiongezea nguvu na muhimu zaidi kuhakikisha kwamba tunakuwa na akili timamu.Pia ukosefu wa usingizi ni chanzo cha kuzeeka mapema.

3- *Fanya mazoezi*
Hili linaweza kupita bila hata maelezo ya ziada .Mazoezi nk Muhimu sana kwa Afya Bora.Fanya mazoezi angalau mara 3 kwa wiki,jipatie mda wa kutembea japo kwa dakika 30.K**a inawezekana nenda Gym.Badala ya kupanda lifti hapo kazini kwako aj mtaani,tumia ngazi za kawaida.Egesha gari lako mbali kidogo na unapokwenda ili upate nafasi ya kutembea nk.Muhimu zaidi ni kuchagua aina ya mazoezi unayoipenda,mazoezi hayatakiwa kuwa adhabu.

Faida za mazoezi ni pamoja na kujiepusha na magonjwa mbalimbali,kupunguza unene( *Bila shaka unajua kuwa unene kupindukia siyo afya bali ni ugonjwa* ) na sababu kubwa ya maradhi mengine.

Kwa leo tutaishia hapa..
Tutaendelea tena katika kipindi kingine
Kwa maswali na ushauri
Mawasiliano +255678-945288
+255746-589685
Au tembelea page yangu facebook *AFYA BORA*
Nawatakia siku njema

Address

P. O. BOX 1557 MWANZA
Mwanza
255200023527

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share