30/05/2023
Eeeeh mungu tunalia mpaka Sasa kwa kumpoteza mama yetu mpendwa ambae alikuwa mama Bora kwetu na at kwenye maisha yetu kwanii yeye ndo alikuwa k**a mwalimu kwetu na at kwenyemambo mengine je Leo tumebaki pekeetu dahh inaumasana baba mungu tunakuomba umlinde mama yetu UK alipo naumpunguzie adhabu ya kaburii na ump mwisho mwema huko alipo na amari njema hiliyo jaah pepooh Eeeeh mungu baba .nakulia ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜atutachoka kumlilia mpendwa wetu mama yetu dahhh inauma sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Ameniiiiii